Headlines News :

Saturday, July 26, 2014

JINI NAMIZI ( JINAMIZI )

Kukabwa na Jinamizi katika ndoto kama
tunavyoita ni kitendo ambacho kinawatokea watu
wengi sana.
Watu wengi hufikiri kwamba anayewakaba ni Jini
lakini Tendo hilo kwa kitaalamu linajulikana kama
“Mwili kupooza katika usingizi” (Sleeping
Paralysis)
Tendo hilo huwa linakutokea katika muda wa
sekunde 20 lakini wewe unayehusika
utahisi kama dakika 5 au dakika 10.
Matukio hayo ya kijinamizi yanatofautiana na
yanakutokea wakati ukiwa nusu usingizini na
nusu macho.
Ukweli ni kwamba hayana madhara yoyote, ila
yanakupa khofu kwa muda fulani.
Unapokabwa unakuwa na fahamu nusu. Unaweza
kufungua macho, na utahisi kupiga kelele lakini
watu hawakusikii, Mwili wako unakuwa hauwezi
kufanya lolote na viungo vya mwili wako vinakuwa
havifanyi kazi,
Inapokutokea unakuwa huwezi kunyanyua mguu
wala mkono wala kichwa. Kwa ujumla unakuwa
kama uliyepata
“ugonjwa wa Kupooza”.
Hali hii ya kukabwa inapotokea unaweza
ukamuona mtu anayetisha akiingia ndani
chumbani kwako, wengine wanaona kama
wanatekwa nyara au kuchukuliwa, wengine
wanahisi wanabakwa, wengine wanaona
wakipigwa au kukimbizwa na matukio mbali mbali
ya kutisha.
Kukabwa na Jinamizi kama tunavyoiita
kunatokana na sababu nyingi, ya kwanza kabisa
ni jinsi wewe mwenyewe ulivyolala, mara nyingi
unapolala chali mambo hayo yanakutokea, au
ukiwa na jambo linalokusumbua kimaisha ambalo
huwezi kulitatua linaweza kukuletea kukabwa na
Jinamizi.
Sababu nyingine ni mazingira unayoishi au eneo
ulilopo kama kuna makelele, au chumba kisicho
na hewa ya kutosha au kuwa na mawazo kuhusu
jambo fulani, au kulala na njaa au ukiwa umelala
umekasirika au ndoto unazoota.
Njia ya kwanza ya kupambana na tatizo hili ni
kujaribu sana lisikutokee, unatakiwa ujaribu kujua
kitu gani kinakusababashia wewe kupata matatizo
hayo, mfano ukijua kwamba kila ukilala chali
unakabwa basi badilisha ulalaji wako, lala upande
au lalia tumbo.
Ikiwa unakabwa ukiwa umelala usiku sana, au
umefanya kazi ngumu, Jaribu kubadili muda wako
wa kulala au punguza kufanya kazi mpaka
ukachoka.
Njia nyingine ni kuhakikisha unapata muda mrefu
wa kulala na umepunzika kabla ya usingizi
haujakuja.
NJIA ZA HARAKA ZA KUEPUKANA NA KUKABWA
NA JINAMIZI
1.Ikikutokea hali hiyo jaribu kuvuta pumzi nyingi
ndani kwa sababu pumzi peke yake ndio
unayoweza kuidhibiti ukiwa umekabwa.
2.Jiepushe kulala chali.
3.Punguza mawazo mengi.
4.Lala katika muda mzuri na jaribu kupata muda
mrefu wa usingizi masaa 8 mpaka 10.
5.Jaribu kuwa na muda maalum wa kulala ikiwa ni
saa 3 basi iwe muda huo wakati wote.
6.Jaribu kula vizuri kabla hujalala.
7.Kumbuka kwamba pamoja ya kuwa hali hii
inatisha lakini haina hatari yoyote.
8.Ukihisi unakabwa jaribu sana kujitingisha, hali
ya kukabwa itakwisha.
9.Ukiona kama unataka kukabwa amka kaa chini
kwa dakika 5 halafu lala tena.

Friday, July 25, 2014

TETESI ZA SOKA ULAYA

Kiungo wa Juventus Arturo Vidal ameipa pigo
Manchester United kwa kudai hatokwenda Old
Trafford (Daily Mail), Liverpool watatumia madai
hayo kumfuatilia kwa makini Vidal kwa kutoa
pauni milioni 42.5 (Metro), Atlètico Madrid
wameanza kumfuatilia mshambuliaji wa
Manchester United Javier Hernandez, 26 (Times),
kiungo wa Chelsea Marko Marin, 25,
anazungumza na Besitkas kwenda kwa mkopo
(Sun), meneja wa Aston Villa,, Paul Lambert
amesema nahodha wake Ron Vlaar, 29,
anayefuatiliwa na Tottenham, hauzwi (Sun), beki
wa Spurs Vlad Chiriches huenda akaenda Roma
(Sun), Jose Mourinho anakaribia kukamilisha
uhamisho wa Didier Drogba, 36, huku kipa Petr
Cech, 32, akimuonya Mourinho kutomkalisha
bench msimu ujao (Sun), Arsenal wanamfuatilia
kipa wa Real Madrid Iker Casillas, 33, na
wamempa mkataba wa miaka mitano kwa
mshahara wa pauni milioni 1.4 kwa mwaka (Daily
Express), Manchester United wanapanga
kumfuatilia Memphis Depay, 20 wa Uholanzi
(Sun), Per Mertesacker, 29, Mesut Ozil, 25 na
Lukas Podolski, 29, watakosa mwanzo wa msimu
baada ya kuongezewa likizo kufuatia kushinda
Kombe la Dunia (Daily Mirror), Ryan Giggs
amemuelezea meneja mpya wa Manchester
United Louis van Gaal, kama "Alex Ferguson
Mpya" (Telegraph), nahodha wa Liverpool Steven
Gerrard, 34, anajiandaa kusaini mkataba wa
mwaka moja zaidi (Liverpool Echo), Inter Milan
imedai inakaribia kumsajili beki Gary Medel wa
Cardiff City (Wales Online), Sunderland wana
matumaini ya kumsajili beki wa Chelsea Patrick
van Aanhold (Metro), Arsenal wanamtazama kwa
karibu Douglas Costa ambaye amekataa kurudi
Shakhtar Donetsk kutokana na matatizo ya
kisiasa. Mchezaji huyo anafuatiliwa pia na AC
Milan na Spurs (Sky Sport Italia), Arsenal
wanajiandaa kuwasilisha maombi yao kwa
Hoffenheim kumsajili Roberto Firmino.
Mshambuliaji huyo kutoka Brazil anatakiwa pia
na Inter Milan (Tuttomercatoweb.com) matumaini
ya Manchester United kumsajili Juan Cuadrado
yameongezeka baada ya Bayern Munich kuacha
kumfuatilia mchezaji huyo wa Fiorentina
(talkSPORT).

NA. KIKEKE SALIM

Wednesday, July 23, 2014

TETESI ZA SOKA ULAYA

TETESI ZA SOKA ULAYA
Boss wa Manchester City Manuel Pellegrini
anapanga kumchukua Didier Drogba, 36, ambaye
pia anasakwa na klabu yake ya zamani Chelsea
(Daily Star), meneja wa Manchester United Louis
van Gaal anataka kutoa pauni milioni 17
kumchukua beki mkabaji wa Ajax Daley Blind, 24
(Daily Express), United pia wameripotiwa kuwa
karibu kumsajili beki wa kati wa Borussia
Dortmund Mats Hummels, 25, kwa pauni milioni
16 (Daily Mail), Tottenham wameambiwa watoe
pauni milioni 25 kama wanamtaka kiungo wa
Real Sociedad Antoine Griezmann, 23, ambaye
pia anafuatiliwa na Chelsea na Monaco (Daily
Telegraph), boss wa Arsenal, Arsene Wenger
amesema hatosajili mshambuliaji msimu huu na
hivyo kufuta tetesi zinazomhusisha na Mario
Balotelli wa AC Milan (Daily Mirror), kiungo wa
Ureno Thiago Mendes, 23, ametupilia mbali
uwezekano wa kurejea Chelsea na angependa
kusalia Atletico Madrid miaka miaka mingine
miwili (Daily Express), PSG watakwepa sheria za
Fifa za fedha kwa kumchukua Angel Di Maria,
kwa mkopo kwa mwaka mmoja kutoka Real
Madrid. Di Maria anasakwa pia na Man United
(Daily Express), Arsenal, Chelsea na Man United
wanamtaka beki Reece Oxford, 15, baada ya
kinda huyo kuonesha kipaji msimu uliopita akiwa
na West Ham ya vijana (Daily Star), Arsene
Wenger atamruhusu Thomas Vermaelen kwenda
Manchester United, ikiwa tu atarhusiwa
kumchukua Phil Jones au Chris Smalling (Daily
Mirror), Chelsea watampa Didier Drogba mkataba
wa miezi 12 wa kucheza ambao hautakuwa na
kipengele cha kuwa kocha, ingawa Chelsea wapo
tayari kuzungumzia hilo (Daily Telegraph),
mshambuliaji wa Lille Divock Origi anakwenda
Boston Marekani kuungana na Liverpool ambao
wapo katika ziara ya mechi za kabla ya msimu.
Atafanyika vipimo kabla ya kukamilisha uhamisho
wake wa pauni milioni 10. Huenda pia
akarejeshwa Lille kwa mkopo (Daily Star).

NA. KIKEKE SALIM

KAPTEN DUNGA AWA KOCHA MPYA BRAZIL

Brazil imemtangaza mchezaji wa zamani Dunga
kuwa kocha wa timu ya taifa, kwa mara ya pili.
Dunga alikuwa nahodha wa Brazil mwaka 1994
waliposhinda Kombe la Dunia, na alikuwa kocha
kuanzia mwaka 2006 hadi 2011.
"Nimefurahi sana kurudi," amesema Dunga, 50,
ambaye alikuwa akitajwa sana kuchukua nafasi hiyo.
Dunga anachukua nafasi ya Luiz Filipe Scolari,
aliyejiuzulu baada ya Brazil kufika nusu fainali ya
Kombe la Dunia 2014, lakini alipata kipigo kizito
katika historia ya taifa hilo kwa kufungwa 7-1 na
Ujerumani. Dunga aliifikisha Brazil katika robo fainali
Afrika Kusini mwaka 2010.

Monday, July 21, 2014

PENZI HUFA...BESTFRIEND HUDUMU:

Watu huanza Mapenzi kwa Mbwembwe
sana...always..utaonyeshwa vitu mpaka utajiuliza
"Alikuwa wapi siku zote Malaika huyu wakati
nateseka na Mapenzi"..Muda unapokwenda Penzi
huanza kuchuja taratibu na unagundua huyu
"Malaika' nae ni walewale tu...Hii ni Law of
Diminishing Marginal Utility ,ipo tu kataa au kubali...Na hapo ndipo URAFIKI WA
KWELI huokoa jahazi
Wale ambao hupata mihemko ya kufunga Ndoa baada ya kukutana miezi 4 tu,kipindi bado Mihemko ya Penzi iko juu sana na kusahau kuna
LAW itaaply very soon ndo huangukiaga pua bila
kutegemea
ALWAYS GET MARRIED TO YOUR BESTFRIEND
-Huwezi kumdanganya Bestfriend wako
-Huwezi kumuumiza Bestfriend wako
-Huwezi kuona Bestfriend wako hana raha
-Huwezi kumkosesha Amani Bestfriend wako
-Huwezi kumuacha Bestfriend wako
-Huwezi kumsaliti Bestfriend wako
Wengi tunaoa WAPENZI WETU badala ya
BESTFRIENDS....So wrong...Wazungu wanasema
"Theres a thin line between Love and
Hate"...Watu wanaoana leo kwa
mbwembwe,miaka 3 unasikia Mme kamuua
Mkewe kwa Shoka...WHAT HAPPENED???Same
Love imegeuka kuwa Terrible Hatred!!
Ukioa/Kuolewa na BESTFRIEND WAKO ni raha
sana,unakuwa huru kuongea na kufanya lolote
mbele yake maana Bestfriend ni mtu
anayekuelewa zaidi kuliko hata babako mzazi
unayeweza kumuektia wewe ni mtoto mzuri
kumbe kitaani unakula wida
Huwezi kumjua Bestfriend kwa Miezi 3...Wazazi
wetu walikuwa na akili..Hawakukurupuka...Sisi
tunajifanya wazee wa ndoa za MKUKUTA na
FAST-TRACKING,Miezi 6 unaoa...Ndoa zote
unazoona Wanandoa wana miaka nenda rudi
wanapendana kama makinda ya Njiwa..Waulize
vizuri...utagundua wale sio WAPENZI TU....Ni
Bestfriends!!
Sahau PARAGRAPH yoote hii ila kumbuka hili
tu...MARRY YOUR BESTFRIEND.

PENZI HUFA...BESTFRIEND HUDUMU:

Watu huanza Mapenzi kwa Mbwembwe
sana...always..utaonyeshwa vitu mpaka utajiuliza
"Alikuwa wapi siku zote Malaika huyu wakati
nateseka na Mapenzi"..Muda unapokwenda Penzi
huanza kuchuja taratibu na unagundua huyu
"Malaika' nae ni walewale tu...Hii ni Law of
Diminishing Marginal Utility ,ipo tu kataa au kubali...Na hapo ndipo URAFIKI WA
KWELI huokoa jahazi
Wale ambao hupata mihemko ya kufunga Ndoa baada ya kukutana miezi 4 tu,kipindi bado Mihemko ya Penzi iko juu sana na kusahau kuna
LAW itaaply very soon ndo huangukiaga pua bila
kutegemea
ALWAYS GET MARRIED TO YOUR BESTFRIEND
-Huwezi kumdanganya Bestfriend wako
-Huwezi kumuumiza Bestfriend wako
-Huwezi kuona Bestfriend wako hana raha
-Huwezi kumkosesha Amani Bestfriend wako
-Huwezi kumuacha Bestfriend wako
-Huwezi kumsaliti Bestfriend wako
Wengi tunaoa WAPENZI WETU badala ya
BESTFRIENDS....So wrong...Wazungu wanasema
"Theres a thin line between Love and
Hate"...Watu wanaoana leo kwa
mbwembwe,miaka 3 unasikia Mme kamuua
Mkewe kwa Shoka...WHAT HAPPENED???Same
Love imegeuka kuwa Terrible Hatred!!
Ukioa/Kuolewa na BESTFRIEND WAKO ni raha
sana,unakuwa huru kuongea na kufanya lolote
mbele yake maana Bestfriend ni mtu
anayekuelewa zaidi kuliko hata babako mzazi
unayeweza kumuektia wewe ni mtoto mzuri
kumbe kitaani unakula wida
Huwezi kumjua Bestfriend kwa Miezi 3...Wazazi
wetu walikuwa na akili..Hawakukurupuka...Sisi
tunajifanya wazee wa ndoa za MKUKUTA na
FAST-TRACKING,Miezi 6 unaoa...Ndoa zote
unazoona Wanandoa wana miaka nenda rudi
wanapendana kama makinda ya Njiwa..Waulize
vizuri...utagundua wale sio WAPENZI TU....Ni
Bestfriends!!
Sahau PARAGRAPH yoote hii ila kumbuka hili
tu...MARRY YOUR BESTFRIEND.

Friday, July 11, 2014

Tracking Your Android Device Location

Hello friends, today i am going to tell you
how to track your android device
location. Android devices are playing an
important role in our life. If our device
will be lost then this means we lose our
important contacts, photos, videos and
other good memories.
I here are some solutions to track it back:

1. We can track our device using IMEI
Number
Every android phone carries a unique
IMEI number (International Mobile
Equipment Identity Number). It is
printed at the back of your device or you
can find it by dialing *#06# . This will give
you the IMEI number of your phone.
Store this number in a safe place so that
it helps you in locating your phone when
it is lost. When you file a complaint, this
number has to be added in the report.
Your service provider uses this number
to track your phone and tell you where it
is. No matter if the person using the
phone is using a different SIM card or
has switched off the phone. Once the
device is traced, you can request your
service provider to block it from using.

2. Activate missing device option in your
device’s Antivirus
If you don’t have installed any antivirus
on your device, you can download it
from Playstore. It will also protect your
phone from external threats. Once you
activate missing device option, it will
easily find your device.
Just you have to sign-in into locate your
device service of your antivirus. It will
show your device’s location on map. If
you are at a short distance from your
device, you can choose Scream option to
make a loud noise to find it.

3. Android device manager
It also helps you to locate your lost
device location. Here’s how to use
Android Device Manager.
Go to the Google Settings app and then
select Android device manager. By
default the locator feature is activated
but to activate remove data wipe, select
the box next to “Allow remote factory
reset”, then select “activate”.
To use this feature, open Android Device
manager and sign in to your Google
account. You may be prompted for
permission to allow Android Device
Manager to use location data. Select the
Accept tab to continue. Now you will be
provided with a map that shows the
location of your device along with other
details such as the name of the place,
when it was last used and more. The
location data doesn’t help you if your
phone is misplaced somewhere in your
home. Instead of making a call to your
phone using other’s phone, you can call
your phone directly from Android Device
Manager. This will make your device to
ring with high volume for 5 minutes,
even if it’s in silent or vibrate mode. One
feature that is missing in Android Device
Manager is remote locking, which can be
useful in preventing a stranger from
accessing your data, while you’re
tracking its location.
thank you for reading our post.If it was
useful for you, share it with your friends
and leave a comment in the comment
section, or if in case you’re unable to get
solved your problem, let us know in the
comment section.

ROBBEN AMLIZA MWANAE

ALIYEKUWA NAHODHA WA MUDA WA UHOLANZI BAADA YA ROBIN VAN PERSIE KUTOKA JUZI ALIMLIZA MTOTO WAKE UWANJANI BAADA YA KUTOLEWA NA KUTOENDELEA NA FAINALI HIZO MJINI BRAZIL KWA KUFUNGWA KWA NJIA YA PENALTI AMBAZO ZILIISABABISHIA UHOLANZI KUWA NJE YA MICHUANO HIYO. AIDHA MTOTO WA ROBBEN AMBAE ALIKUA UWANJANI HAPO AKIUSHUHUDIA MTANANGE HUO DHIDO YA ARGENTINA AKIONGOZANA NA MAMA YAKE ALISHUHUDIWA AKIMWAGIKA MVUA YA MACHOZI HUKU BABA YAKE AKIMNYAMAZISHA NA KUMFARIJI.

Wednesday, July 9, 2014

GOLI LA VAN PERSIE LATENGENEZEWA SARAFU

Sarafu ya ukumbusho wa goli la kichwa la Van
Persie lililoisababishia ushindi timu yake ya
Uholanzi limewekwa kwenye sarafu iliyouzwa
ndani ya saa moja baada ya kuwekwa sokoni.
Van Persie alifunga goli hilo wakati timu yake
ilipokutana na Hispania katika mechi
zinazoendelea za Kombe la dunia na kuzua
gumzo kubwa ambapo mashabiki walikuwa
wakifanya vitendo mbalimbali kuenzi goli hilo
lililoipa ushindi Uholanzi wa Bao 5-1.
Unaweza kuona kitu cha ajabu lakini ndio hivyo
wenzetu wanafanya hivyo ambapo kampuni
iliyopewa mamlaka ya kutengeneza sarafu
ilichukua picha ya kitendo kilichofanywa na
nyota huyo wa timu ya Manchester United Van
Persie wakati wa mechi ya ufunguzi wa makundi
mwezi uliopita.

"NILITAKA TU KUONA WATU WANGU WANAFURAHI BADALA YA KUHUZINIKA " - DAVID LUIZ


"I just wanted to see my people smile. Brazillian
people suffer so much. I just wanted them to smile"
- David Luiz
Did you expect a 7 - 1 win for Germany? Describe
the final score in one word.
# WorldCup

BRAZIL YAGARAGAZWA 7 BILA NI UJERUMANI WOLD CUP 2014 USIKU HUU

Brazil imebwagwa vibaya kwenye nusu fainali ya
Kombe la Dunia kwa ushindi wa kihistoria wa
Ujerumani. Ujerumani imeitwanga Brazil mabao
7-1 yakiwa magoli mengi zaidi kuwahi kufungwa
na timu moja kwenye nusu fainali ya Kombe la
Dunia. Mvua hiyo ya magoli ilianza kwenye
dakika ya 11 paleThomas Thomas Müller alipotia
kimiani goli lake la tano kwenye michezo ya
mara hii ya Kombe la Dunia. Baadaye yalifuata
magoli 2 ya Toni Kroos na 1 la Sami Khedira .
Brazil iliyocheza bila ya nyota wake, Neymar Jr. ,
ambaye amevunjika mgongo, ilionekana kupata
uhai kwenye kipindi cha pili, lakini goli la sita na
saba pia likaenda kwa Ujerumani, pale André
Schürrle alipoongeza chumvi kwenye kidonda
kibichi cha Brazil. Oscar alitia kimiani goli la
pekee la Brazil katika dakika za mwisho, kikiwa
ni kifuta machozi kisicholeta faraja.

Tuesday, July 8, 2014

UTABIRI WAKO HAPA : YOUR PREDICTION HERE

IKIWA ZIMESALIA SAA CHACHE NA DAKIKA CHACHE UANZE MTANANGE WA KUKATA NA SHOKA KATI YA WAKALI WA BARA LA ULAYA DHIDI YA WAKALI WA BARA LA MAREKANI YA KUSINI NAMANISHA

GERMANY V/$ BRASIL

NANI KUIBUKA KIDEDEA LEO?????

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

LIVERPOOL NEW JERSEY 2014/2015

LYRICS : mdogo mdogo : Diamond Platnumz

{Verse 1}
Nimetembea tembea Bara na visiwani...
ila nikajionea we ndio my Number one..
Natamani nikupe ila sina
nimejaliwa upendo heshima..
Maneno yao matamu yasikuibe mama....
si unajua binadamu wabaya sana...
Wanawivu hao, wachonganishi hao ( ×2)
usije niacha kwa unyonge nachechemea...
Utamu wa finyango na tonge
ukanielemea...
Usije niacha kwa Unyonge
nachechemea...
Utamu wa finyango na tonge ukala
kwangu...

{Chorous}

Mwendaazimu kaingiaje!
(Asije kitorondo)
Mwendaazimu kaingiaje!
(Akanikatia na Uhondo)
Mwendaazimu kaingiaje!
(Kitorondo kitorondo eeh)
Mwendaazimu kaingiaje!
(Ikinasa mpaka uondoe)
Mwendaazimu kaingiaje
(Oooh Kitorondo)
Mwendaazimu kaingiaje!
(Ikawa nyumba ya shetani)
Mwendaazimu kaingiaje!

{Verse 2}

Kidogo nikileta Mumypti usinune..
Nikumbatie unikiss nijivune..
Kesho nizidishe ufanisi nijitumee..
Tujenge hadi nyumba Paris Wanunee....
Vimichezomichezo vya Saloon chunga
wakipanga...
Wasije kukufunza vya uhuni ukawa
unadanga...
Ukaanza safari Mchana jua kali, usiku
haulali ayaah! ( ×2)
Wanawivu hao, wachonganishi hao ( ×2)
Ukaanza safari, Mchana juakali, Usiku
haulali Aah yaya..!

{Chorus}

Mwendaazimu kaingiaje!
(Asije kitorondo)
Mwendaazimu kaingiaje!
(Akanikatia na Uhondo)
Mwendaazimu kaingiaje!
(Kitorondo kitorondo eeh)
Mwendaazimu kaingiaje!
(Ikinasa mpaka uondoe)
Mwendaazimu kaingiaje
(Oooh Kitorondo)
Mwendaazimu kaingiaje!
(Ikawa nyumba ya shetani)
Mwendaazimu kaingiaje!

{Bridge}
Mdogomdogo
Mdogomdogo (Usijali mama)
Mdogomdogo (We wacha waongee)
Mdogomdogo (Usiku na mchana)
Mdogomdogo (Mpaka wanyongee)
Mdogomdogo (Na ntakupenda sana)
Mdogomdogo (Mahaba ninyongee)
Mdogomdogo (sijali lawama)
Mdogomdogo (acha wanizonge)
Mdogomdogo (kachirikachiri)
Mdogomdogo (kachiri we ngao yangu)
Mdogomdogo (mwenzako taabani)
Mdogomdogo (nilindie roho yangu)
Mdogomdogo (wasije wa furani)
Mdogomdogo (wakaiba tamu yangu)

{Ending Chrous}

Mwendaazim kaingiaje
Mwendaazim kaingiaje
Mwendaazim kaingiaje
Mwendaazim kaingiaje
Mwendaazim kaingiaje (mdogomdogo)
Mwendaazim kaingiaje (mdogomdogo)
Mwendaazim kaingiaje (mdogomdogo)
Mwendaazim kaingiaje (mdogomdogo)

  • World News

     
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger