Headlines News :

Monday, July 21, 2014

PENZI HUFA...BESTFRIEND HUDUMU:

Watu huanza Mapenzi kwa Mbwembwe
sana...always..utaonyeshwa vitu mpaka utajiuliza
"Alikuwa wapi siku zote Malaika huyu wakati
nateseka na Mapenzi"..Muda unapokwenda Penzi
huanza kuchuja taratibu na unagundua huyu
"Malaika' nae ni walewale tu...Hii ni Law of
Diminishing Marginal Utility ,ipo tu kataa au kubali...Na hapo ndipo URAFIKI WA
KWELI huokoa jahazi
Wale ambao hupata mihemko ya kufunga Ndoa baada ya kukutana miezi 4 tu,kipindi bado Mihemko ya Penzi iko juu sana na kusahau kuna
LAW itaaply very soon ndo huangukiaga pua bila
kutegemea
ALWAYS GET MARRIED TO YOUR BESTFRIEND
-Huwezi kumdanganya Bestfriend wako
-Huwezi kumuumiza Bestfriend wako
-Huwezi kuona Bestfriend wako hana raha
-Huwezi kumkosesha Amani Bestfriend wako
-Huwezi kumuacha Bestfriend wako
-Huwezi kumsaliti Bestfriend wako
Wengi tunaoa WAPENZI WETU badala ya
BESTFRIENDS....So wrong...Wazungu wanasema
"Theres a thin line between Love and
Hate"...Watu wanaoana leo kwa
mbwembwe,miaka 3 unasikia Mme kamuua
Mkewe kwa Shoka...WHAT HAPPENED???Same
Love imegeuka kuwa Terrible Hatred!!
Ukioa/Kuolewa na BESTFRIEND WAKO ni raha
sana,unakuwa huru kuongea na kufanya lolote
mbele yake maana Bestfriend ni mtu
anayekuelewa zaidi kuliko hata babako mzazi
unayeweza kumuektia wewe ni mtoto mzuri
kumbe kitaani unakula wida
Huwezi kumjua Bestfriend kwa Miezi 3...Wazazi
wetu walikuwa na akili..Hawakukurupuka...Sisi
tunajifanya wazee wa ndoa za MKUKUTA na
FAST-TRACKING,Miezi 6 unaoa...Ndoa zote
unazoona Wanandoa wana miaka nenda rudi
wanapendana kama makinda ya Njiwa..Waulize
vizuri...utagundua wale sio WAPENZI TU....Ni
Bestfriends!!
Sahau PARAGRAPH yoote hii ila kumbuka hili
tu...MARRY YOUR BESTFRIEND.

  •  
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger