Headlines News :

Thursday, September 25, 2014

Mambo ya Johnny Haya!!!


Mambo ya bwana John Haya 

JOHN alikuwa analala darasani wakati mwalimu anafundisha!
MWALIMU: We John kwanini unalala wakati mi nafundisha?
JOHN: Unajua mwalimu sauti yako nzuri ndio maana nikalala!
MWALIMU: Sasa mbona wenzako hawajalala?
JOHN: Kwa sababu wao hawakusikilizi!!
MWALIMU: Haya nitajie mifano ya wanyama kumi wa pori...
JOHN: Aaaah! uliza swali lingine bhana hilo siwezi kujibu ni rahisi mno!
MWALIMU: Jibu kwanza hilo kama ni rahisi!
JOHN: Simba saba na Chui watatu...!!!
KWA STORI ZAIDI LIKE HAPA https://www.facebook.com/mzukatz
JOHNNY alikuwa analala darasani wakati mwalimu anafundisha!
MWALIMU: We John kwanini unalala wakati mi nafundisha?
JOHNNY: Unajua mwalimu sauti yako nzuri ndio maana nikalala!
MWALIMU: Sasa mbona wenzako hawajalala?
JOHNNY: Kwa sababu wao hawakusikilizi!!
MWALIMU: Haya nitajie mifano ya wanyama kumi wa pori...
JOHNNY: Aaaah! uliza swali lingine bhana hilo siwezi kujibu ni rahisi mno!
MWALIMU: Jibu kwanza hilo kama ni rahisi!
JOHNNY: Simba saba na Chui watatu...!!!
  •  
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger