Headlines News :

Sunday, March 9, 2014

IMANI YAKO NDIO ITAKAYOKUPONZA

Photo: Salome alifunga ofisi yake na kwenda benki kuchukua fedha kwa ajili ya ada ya mwanae aliyekuwa akisafiri siku ya pili kwenda shuleni.

Mita chache baada ya kuchukua fedha akiwa anaelekea kupanda gari akakutana na mama mmoja aliyekuwa akiomba msaada wa fedha ya kula yeye na familia yake.

Kwa huruma ya kumwona mama mwenzie akitia huruma kuomba msaada wa chakula cha yeye na familia yake akafungua mkoba wake na kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kumpa.

Alipofika nyumbani akashangaa kuona fedha zote kwenye mkoba zimetoweka na hakuwa na jinsi zaidi ya kulia kwa huzuni kwani hata alipofika ule mtaa alikomsaidia yule mama hakukua na dalili zozote za yule mama.

Suphiani yeye alitembelewa na baba mmoja dukani kwake na kumwomba msaada wa chenji ya shilingi elfu kumi.

Saa moja baada ya yule baba kuondoka suphiani hakuamini kuona droo yake ya fedha ikiwa tupu kwani hela zote zimetoweka.

Sara alibahatika kuwa dada mjasilia mali na alijiimarisha sana katika shughuli zake.

Akabahatika kukutana na rafiki mmoja wa kike walioshibana sana na kushauriana sana katika biashara.

Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa sara yule rafiki alimpa zawadi ya mkufu mzuri sana ambao kamwe sara hakutamani kuutoa mwilini mwake kwa jinsi ulivyompendeza.

Siku hadi siku sara akashangaa kuona biashara yake ikizidi kushuka na kuporomoka kwa kasi kabla ya kwenda kanisani na kuombewa na kwa mshangao ule mkufu ukabadilika na kuwa kamba ya ajabu mfano wa hirizi.

Hirizi ile ikaongea kuwa alipewa sara na rafiki yake ili impotezee mafanikio yake na kumwacha maskini wa kutupwa atakaye hangaika maishani.

Ndugu kumbuka sio kila mtu unayemsaidia ana mpango mzuri kwako na sio kila zawadi unayopewa ina maana ya kukupa furaha.

Kila utakachokipokea kumbuka kukikabidhi mikoni mwa Mungu na kuomba ulinzi wake.

Sala yangu kwako

Kila msaada utakao utoa na uende kwa mhusika na Mungu akupe mara kumi ya kila utakachokitoa na kukubarikia furaha.

Kila zawadi utakayoipokea daima ikupe furaha na kukuongezea mafanikio na sio kukuibia mafanikio.

Comment AMEN na kisha share ujumbe huu kama nawe waamini ulinzi wa Mungu kwa kila unachokitoa na kukipokea.
Mikasa zaidi tembelea ... http://dlvr.it/52bxnxSalome alifunga ofisi yake na kwenda benki kuchukua fedha kwa ajili ya ada ya mwanae aliyekuwa akisafiri siku ya pili kwenda shuleni.

Mita chache baada ya kuchukua fedha akiwa anaelekea kupanda gari akakutana na mama mmoja aliyekuwa akiomba msaada wa fedha ya kula yeye na familia yake.

Kwa huruma ya kumwona mama mwenzie akitia huruma kuomba msaada wa chakula cha yeye na familia yake akafungua mkoba wake na kutoa noti ya shilingi elfu kumi na kumpa.

Alipofika nyumbani akashangaa kuona fedha zote kwenye mkoba zimetoweka na hakuwa na jinsi zaidi ya kulia kwa huzuni kwani hata alipofika ule mtaa alikomsaidia yule mama hakukua na dalili zozote za yule mama.

Suphiani yeye alitembelewa na baba mmoja dukani kwake na kumwomba msaada wa chenji ya shilingi elfu kumi.

Saa moja baada ya yule baba kuondoka suphiani hakuamini kuona droo yake ya fedha ikiwa tupu kwani hela zote zimetoweka.

Sara alibahatika kuwa dada mjasilia mali na alijiimarisha sana katika shughuli zake.

Akabahatika kukutana na rafiki mmoja wa kike walioshibana sana na kushauriana sana katika biashara.

Siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa sara yule rafiki alimpa zawadi ya mkufu mzuri sana ambao kamwe sara hakutamani kuutoa mwilini mwake kwa jinsi ulivyompendeza.

Siku hadi siku sara akashangaa kuona biashara yake ikizidi kushuka na kuporomoka kwa kasi kabla ya kwenda kanisani na kuombewa na kwa mshangao ule mkufu ukabadilika na kuwa kamba ya ajabu mfano wa hirizi.

Hirizi ile ikaongea kuwa alipewa sara na rafiki yake ili impotezee mafanikio yake na kumwacha maskini wa kutupwa atakaye hangaika maishani.

Ndugu kumbuka sio kila mtu unayemsaidia ana mpango mzuri kwako na sio kila zawadi unayopewa ina maana ya kukupa furaha.

Kila utakachokipokea kumbuka kukikabidhi mikoni mwa Mungu na kuomba ulinzi wake.

Sala yangu kwako

Kila msaada utakao utoa na uende kwa mhusika na Mungu akupe mara kumi ya kila utakachokitoa na kukubarikia furaha.

Kila zawadi utakayoipokea daima ikupe furaha na kukuongezea mafanikio na sio kukuibia mafanikio.

Comment AMEN na kisha share ujumbe huu kama nawe waamini ulinzi wa Mungu kwa kila unachokitoa na kukipokea.
  •  
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger