Headlines News :

Sunday, May 12, 2013

SEMA NAYE - KIKINUKA SI BASI

Amekuwa rafiki yako muda mrefu, mnaongea, mnacheka, sometimes mnatoka Outing pamoja, una feelings nae lakini humwambii unadhani ataota unampenda?? Yagujuuu!!!  Unajichekesha chekesha tu muda wote, wenzio walio straight wamemwambia live, wamempasukia wakamchukua, unamchukia, unaanza kumsema vibaya kwamba hajali feelings, Feelings zipi?? Wewe umemtreat kama rafiki hujataka kufunguka, naye amekuchukulia kama rafiki, kosa lake ni nini?? Au ulijua yeye ni malaika kwamba atajua lililomo moyoni mwako???? Ndugu zangu, Wanawake kwa Wanaume, Fungukeni, zile zama za kuekti muvi, unampenda mtu unaugulia tu ndani kwa ndani zimepita. Mwambie ujue moja, akikataa ujue la kufanya, utajifaragua unapoteza muda wajanja watamfungukia pwaaah wanamnyakua utabaki unalia.. Ukipenda  Sema  ili  Upone!

SHARE NA MARAFIKI KAMA UMEIPENDA HII!

  •  
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger