Headlines News :

Thursday, March 7, 2013

UKWELI WA MAMBO UKO HIVI. . .

UKILAZIMISHA PENZI KWA MTU AMBAYE HAKUPENDI.
♥ Muda mwingi Unakuwa na stress sababu kila wakati unamuwaza yeye.

♥ Unaweza ukawa kila siku unagombana na marafiki zako wa karibu kisa tu mpenzi wako umemtumia meseji saa nzima hajakujibu na yupo Online aidha kwenye Facebook, BBM , Nimbuzz, Whatsapp n.k.

♥ Ukitaka kumtumia msg au kumpigia Simu Unajistukia sanaa sababu kila siku wewe ndio wa kwanza kumtafuta.

♥ Kila siku  Ku-post status za kuchukia MAPENZI.

♥ Maswali ya kujiuliza kama "kwani Mimi nina kasoro gani"? huwa Hayaishi kichwani mwako kila muda kazima ukae katika KIOO ukijitathmini.

-Haahaa Unaumizwa kichwa yoote hayo kumbee UMESAHAU kuwa  MAPENZI NI HISIA..!!

-Labda Huyo Hana Hisia Na wewe...Acha kujikondesha na mawazo ya ki mapenziii ACHANA NAE Fanya mambo yako ya ki maendeleo.

#KUPENDA USIPO PENDWA NI SAWA NA KUSUBIRIA MELI AIRPORT #


(C) Critical Thinking.
  •  
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger