Headlines News :

Wednesday, December 18, 2013

NANI MJANJA?

NANI MJANJA? BABA 1 Mlevi Nyumba yake ina shimo kubwa uani lenye maji Machafu ila halina mfuniko. Siku moja BABA karudi saa 8 usiku toka Ulevini mambo yakawa hivi;
BABA: Funguaa!!
MKE: Leo sifungui, Nimechoshwa na tabia yako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisaa.
MKE. Kufa tu huna faida duniani!.
MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo pwaaa!!
MKE kusikia akajifunga kanga fasta akafungua mlango.
Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MUME: Piga sana 2 wakija uwambie unatoka wapi usiku huu tena na kanga moja!?

  •  
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger