Headlines News :

Wednesday, April 25, 2012

WALE VIPANGA WA HESABU NAOMBENI JIBU LA SWALI HILI!





VIPANGA WA HESABU NAOMBENI JIBU!
Umetoka na safari zako wakati unarudi unapitia duka la nguo karibu na home, unakuta nguo ambayo unatokea kuipenda na nguo yenyewe inauzwa Tzs 10,000/=  ukawa hauna pesa ukaamua kukopa kwa kaka sh. 5000 na kwa dada Tzs 5000, ukanda kwa dukani kununua na kutokana na uswahili ulivokujaa ukaamua ku-bargain ile nguo ukauziwa kwa Tzs 9700/= akakurejeshea chenji yako Tzs 300/=
Ukaona ni vyema upunguze deni ukampa dada Tsh.100/= na kaka Tzs 100 na wewe ukabakiwa na Tzs 100/= , ikawa dada anakudai Tzs 4900/=  na kaka Tzs 4900/= , ukijumlisha Tzs 4900 + 4900 = 9800/= Tzs ukijumlisha na ile Tzs 100 uliyobakiwa nayo inakuwa 9900 Tzs …
SWALI, Jee ile mia (Tzs 100)  ya kutimiza ile Tzs 10,000/= imekwenda wapiii???
  •  
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger