Headlines News :

Thursday, September 25, 2014

Mambo ya Johnny Haya!!!


Mambo ya bwana John Haya 

JOHN alikuwa analala darasani wakati mwalimu anafundisha!
MWALIMU: We John kwanini unalala wakati mi nafundisha?
JOHN: Unajua mwalimu sauti yako nzuri ndio maana nikalala!
MWALIMU: Sasa mbona wenzako hawajalala?
JOHN: Kwa sababu wao hawakusikilizi!!
MWALIMU: Haya nitajie mifano ya wanyama kumi wa pori...
JOHN: Aaaah! uliza swali lingine bhana hilo siwezi kujibu ni rahisi mno!
MWALIMU: Jibu kwanza hilo kama ni rahisi!
JOHN: Simba saba na Chui watatu...!!!
KWA STORI ZAIDI LIKE HAPA https://www.facebook.com/mzukatz
JOHNNY alikuwa analala darasani wakati mwalimu anafundisha!
MWALIMU: We John kwanini unalala wakati mi nafundisha?
JOHNNY: Unajua mwalimu sauti yako nzuri ndio maana nikalala!
MWALIMU: Sasa mbona wenzako hawajalala?
JOHNNY: Kwa sababu wao hawakusikilizi!!
MWALIMU: Haya nitajie mifano ya wanyama kumi wa pori...
JOHNNY: Aaaah! uliza swali lingine bhana hilo siwezi kujibu ni rahisi mno!
MWALIMU: Jibu kwanza hilo kama ni rahisi!
JOHNNY: Simba saba na Chui watatu...!!!

Sunday, September 14, 2014

SIFA 10 ZA MWENYE MAPENZI YA KWELI . . .


*      Mpenzi wa kweli ni yule ambaye hatangoja kujua nini unahitaji yaani hana sababu ya kusubiri kuombwa ndiyo atoe msaada.

*      Ni yule atakayejua wakati gani huna furaha au una furaha na atakuwa na wewe kwa hali zote mbili .

*      Ni yule atayekuwa tayari kukusikiliza kwa kile utakachosema, hatojali umeongea baya au zuri

*      Atakuwa na wewe wakati wa shida na raha. Hatakuwa mtu wa kuvizia vizia na kujisogeza wakati ukiwa na raha.

*      Mpenzi wa kweli atakuheshimu na hatopenda kuwa kikwazo cha maisha yako, atakulinda daima.

*      Atakupenda kwa moyo wake wote na wala si kwa ajili ya shinikizo fulani (pesa au mali)

*      Mpenzi wa kweli ni yule atakayeonyesha kuthamini nafasi yako kama rafiki au mpenzi mbele ya wengine,hafichi hisia zake mbele za watu, atakutetea na kukufanya wa kwanza.

*      Kwenye ukweli mpenzi mzuri atasema bila kukuficha na atapenda kukuonyesha mifano ya namna ya kuwa mkweli na mwaminifu.

*      Mpenzi wa kweli ni yule anayejiamini, asiyeyumba katika maamuzi hata kama atalazimika kufanya maamuzi magumu .

*      Atakuwa tayari kuvumilia,hatak uwa mwepesi wa hasira wala kutumia lugha chafu na ubabe.

♥♥♥♥♥
  • World News

     
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger