Headlines News :

Wednesday, March 20, 2013

5 NICE LITTLE STORIES

1.Once, all villagers decided to pray for rain, on
the day of prayer all the People gathered but
only one boy came with an umbrella. 

THAT'S FAITH! .
. . . .

2. When you throw a baby in the air, she laughs
because she knows you will catch her.
THAT'S TRUST!
. . . . .

MIUJIZA YA MWENYEZI MUNGU



Photo: ***A Must Read***
A friend of mine went to a factory to see somebody, when he got there, he was very thirsty; as he
waited for the person he was looking for, he saw a small bottle on the table and thought the content
was water, not knowing it was a deadly chemical; being very thirsty, he took it immediately and
drank, funny enough he did not even notice the test of chemical; as he was drinking it, somebody saw
him and shouted "Chemical, you just drank chemical." My friend shouted back; "No, it's water." When
they checked it, Lo and behold, the liquid was 100% chemical; My friend drank it unknowingly but God
turned it into ordinary water, quench his thirst and saved his life. People thought he would die, but till
today he's still Alive & Well.
I decree in the name of Jesus Christ; If you'll type "AMEN", what you don't know will never kill you!!! A friend of mine went to a factory to see somebody, when he got there, he was very thirsty; as he
waited for the person he was looking for, he saw a small bottle on the table and thought the content
was water, not knowing it was a deadly chemical; being very thirsty, he took it immediately and
drank, funny enough he did not even notice the test of chemical; as he was drinking it, somebody saw
him and shouted "Chemical, you just drank chemical." My friend shouted back; "No, it's water." When
they checked it, Lo and behold, the liquid was 100% chemical; My friend drank it unknowingly but God
turned it into ordinary water, quench his thirst and saved his life. People thought he would die, but till
today he's still Alive & Well.
I decree in the name of  ALLAH  If  you 'll type "AMEN", what you don't know will never kill you!!!
COMMENT  . . .  SHARE WITH FRIENDS ON TWITTER & FACEBOOK

Monday, March 18, 2013

TODAY'S JOKE - DOGO


Wakati wa msosi dingi anamlazimisha dogo aombee chakula, dogo akawa hataki lakini baada ya kulazimishwa sana akaanza kuombea chakula ili wale. Akaanza: "Ee Mungu nakushukuru kwa kutubariki na kumuwezesha baba kupata hela na kutuletea chakula. Naomba umbariki na baba yake Joni mlafi ili Joni aache kuja kudowea chakula kwetu. Naomba pia umbariki Tino ambaye ni kaka yake Joni aache kuja kila siku kumvua dada nguo na

Saturday, March 9, 2013

LETTER TO FACEBOOKERS


BARUA KWA WANAFACEBOOK
Kwako Kaka,

Usione nimekaa kimya sana huku uswahilini ukaanza kusema kwamba nimekutenga, hapana, bado nakukumbuka sana kaka yangu mpendwa. Toka ulipotuhama na kuhamia Masaki, nimekuwa mtu mnyonge sana, nashinda peke yangu huku simu uliyoniachia ikiwa mkononi mwangu.
Leo kaka ningependa kukuambia kitu kimoja, hasa mtandao huu wa Facebook ambao ulikuwa ukiniambia sana nisijiunge nao kwani nisingeweza kusoma. Niliyapuuzia sana maneno yako ila kwa sasa ndio naona madhara ya mtandao huu.

Leo nitakwenda kukuambia machache juu ya mtandao huu wa facebook ambao unatumiwa na simu zote

Thursday, March 7, 2013

WANAWAKE HUANGALIA NINI KWENYE FIRST DATE?

 Je Wanawake huangalia nini kwenye "first date"?
Sio wote, bali wengi wao huwa wanaangalia mambo haya siku ya kwanza kukutana (au mtoko)

1. Kwanza wanatazama tembea yako, kisela au kiheshima ili wajue kama una kazi au la.

2. Kama viatu vina vumbi moja kwa moja wanajua gari huna.

3. Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki moja hujawahi kushika (miliki).

4. Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa.

6. Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia.

7. Ukiongea naye muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujamtongoza, basi anajua umempenda.

8. Usipomtazama usoni au machoni, yawezekana ni muongo au hujiamini na unamuogopa.

Je vitu gani vingine huwa wanaangalia?

Just Comment hapo chini . . .

UKWELI WA MAMBO UKO HIVI. . .

UKILAZIMISHA PENZI KWA MTU AMBAYE HAKUPENDI.
♥ Muda mwingi Unakuwa na stress sababu kila wakati unamuwaza yeye.

♥ Unaweza ukawa kila siku unagombana na marafiki zako wa karibu kisa tu mpenzi wako umemtumia meseji saa nzima hajakujibu na yupo Online aidha kwenye Facebook, BBM , Nimbuzz, Whatsapp n.k.

♥ Ukitaka kumtumia msg au kumpigia Simu Unajistukia sanaa sababu kila siku wewe ndio wa kwanza kumtafuta.

♥ Kila siku  Ku-post status za kuchukia MAPENZI.

♥ Maswali ya kujiuliza kama "kwani Mimi nina kasoro gani"? huwa Hayaishi kichwani mwako kila muda kazima ukae katika KIOO ukijitathmini.

-Haahaa Unaumizwa kichwa yoote hayo kumbee UMESAHAU kuwa  MAPENZI NI HISIA..!!

-Labda Huyo Hana Hisia Na wewe...Acha kujikondesha na mawazo ya ki mapenziii ACHANA NAE Fanya mambo yako ya ki maendeleo.

#KUPENDA USIPO PENDWA NI SAWA NA KUSUBIRIA MELI AIRPORT #


(C) Critical Thinking.

Friday, March 1, 2013

CHOMBEZO - FURAHA YA FACEBOOK.!

 CHOMBEZO - FURAHA YA FACEBOOK.!

Pembeni yangu alikuwepo mpambe wangu wa siku zote Fakih Juma  au Kakyfee kama ambavyo alijiita suti yake iliyokuwa imeendana na umbo lake dogo ilimfanya awe kama muigzaji mahiri kutoka Nollywood Nigeria huku pembeni ya malikia wangu Farha au Happy kama ambavo nilipenda kumuita, Farha alikuwepo shoga yake aliyeitwa Sherry  gauni lake refu lililoachia mgongo wazi lilikuwa limemfanya awe kama mrembo wa Tanzania aliyepata umaarufu kupitia tasnia ya maigizo Elizabeth Michael ama LULU, kifua chake kilichohifadhi hazina ya chuchu ndogo ndio kilimn’garisha zaidi.
Sitaki kuzungumzia kuhusu mimi na Farha lakini jinsi tulivyokuwa tunavutia waulize walohudhuria sherehe hiyo sitaki kujisifia baada ya sherehe fupi iliyofanywa na ndugu yake Farha ikiwa ni kupiga picha ya pamoja ya familia na kuvikana pete katika ukumbi wa Novelty Cinema ya  Wete - Pemba . “Mh! kaka utafaidi leo!” Fakih  alinin’gata sikio nikamjibu kwa tabasamu hafifu lililounga mkono hoja yake.
“Anakwambia nini huyo Fakih nyie wambea kweli” Farha alinambia huku ameangalia mbele ili asijulikane kama ananiambia kitu, sauti yake ilikuwa laini sana. MC au mkuu aliyekuwa akiongoza shughuli ile alikuwa akiitwa  Massoud Ali wengi walimwita Masu kama ambavyo amezoeleka kwa jina hilo naye alikua tayari ameusoma mchezo
“Naona bi harusi anamwambia mista wake jamani dear saa ngapi tunacheza mziki nina hamu ya kukuonyesha umahiri wangu” ukumbi wote ukaripuka kwa vicheko, hata Farha alicheka nikauona mwanya
  • World News

     
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger