Headlines News :

Wednesday, March 4, 2015

CHOMBEZO - FACEBOOK:

  CHOMBEZO - FURAHA YA FACEBOOK.!

Majira ya saa tatu na dakika takriban arubaini hivi  usiku gari ilisimama mbele ya hoteli kubwa  ya kisasa  “Pemba Clove Inn”, tulisindikizwa hadi kwenye chumba chetu kilichoandaliwa mahususi kwa ajili yetu kwa siku tatu mfululizo, fungate la kizushi. Dada yake na Farha nilimwona kama mzinguaji alivyoanza tena kupiga stori na Farha, hakika alikuwa anazingua maana wamekaa wote miaka kibao leo hii ndio anajidai anajua kuhamasisha. Dah! Fakih kama ninja vile akautegua mtego akamtoa huyo dada, nikampa ishara ya dole gumba yaani MIA.



“Tukaoge mpenzi” sauti tamu ya Farha ikapenya masikioni mwangu. Sikujibu kitu haraka haraka nikamwondoa lile gauni, taiti yake mh! kilichofuata bikini weweeee! juu kafungashia cheni mbili zenye rangi ya dhahabu kama bikini yake jamani huu uchokozi hivi waliompamba walijuaje napenda bikini na cheni za kiunoni, he!!! wazo la kuoga likapotea nilipoona “tatoo” kwenye chuchu zake kama zile za akina Irene Pancras Uwoya ama Oprah kama ambavyo wengi walikua wakimuita  pindi waangaliapo filamu zake anazocheza. Mh! kwani mie khanithi? hapana mie nimekamilika kabisa, kama vile ugomvi nikambeba (Usiniulize nguvu nilitoa wapi na kiafya changu hichi mgogoro cha kukopa au cha vidonge mkononi mana pumu ilikua hainiachi)
fuatilia zaidi kwenye Page  ya SIMULIZI HAPO JUU ^^^^^
  •  
    Support : Blog designer | Blogger | Developer | | KakyteeMedia.InC
    Copyright © 2011. Kakytee.com - All Rights Reserved
    Template Modified by KakyteeMedia
    Proudly powered by Blogger